Askofu Mkuu akimimina mafuta ya Krisma juu ya Altare
Askofu Mkuu Josaphat LEBULU akipakaa Altare kwa mafuta
Askofu Mkuu Josaphat LEBULU akiendelea kuipaka Altare kwa mafuta ya Krisma
Mapadre wakipaka kuta za kanisa kwa mafuta ya Krisma
Askofu MkuuJosaphat LEBULU akiweka ubani kwenye chombo chenye makaa ya moto juu ya Altare
Askofu Mkuu Jisaphat LEBU akiweka Hostia Takatifu kwenye Tabernakulo baada ya kuibariki

Ndugu Gabriel Mkude akipiga kinanda kwa ustadi mkubwa kwenye adhimisho la kutabaruku Kanisa la Mt. Fransisko Ksaveri
Wanakwaya wa kwaya ya Mt. Sesilia toka Parokia ya Mt. Terersia wa Mtoto YESU wakiwa pamoja na wakanakwaya wa Kwaya ya Mt. Kizito (Olosipa) wakiimba kwenye adhimisho hilo.










Post a Comment

 
Top